NAMNA YA KUZUI KUKU ANAYEDONOA MAYAI YAKE.

Kuku wengi wamekuwa na tabia za kudonoa mayai ambayo wameyataga wenyewe au ambayo yametagwa na kuku wengine, hivyo pindi uonapo tabia hii katika kuku wako unatakiwa kufanya yafutayo ili kukomesha tabia hii:
                 

         1. Kuweka idadi ya kuku inayolingana na sehem ulionayo.
  1. Usizidishe mwanga.
  2. Banda liwe safi.
  3. Weka vyombo vya kutosha.
  4. Wape lishe bora.
  5. Wape kuku shughuli kwa kuwawekea bembea na sehem ya uwazi kwa ajili ya mazoezi.
  6. Kata midomo ya juu.
  7. Epuka ukoo wenye tabia hizo.

Comments

Popular posts from this blog

Gove confirms mandatory housebuilding targets for councils will be abolished in face of Tory rebellion – UK politics live

Kotak Mahindra Bank Recruitment 2022 Released for Graduate Candidates And Apply Online